Anonyme - 02.08.2017 - Mimi niko mutu ya BUKAVU, Tena nilikua mutu ya UNC, Alakini naomba sana sana RASSOP isimupokee KAMERHE; Huyu bwana ni kama kanyalungu/cameleon; Ametumwa na MP; NB:kama leo MP imepata nguvu ni juu ya huyu bwana VK kuitika ile dialogue ya kwanza/ya UA/kodjo